Mkopo huu unatolewa kwa kiwango kisichozidi cha shilingi milioni sabini (70,000,000/-). Mwanachama ataruhusiwa kukopa tena iwapo atakuwa amemaliza mkopo wa awali, au amerejesha moja ya tatu (1/3) la deni la awali.
Urejeshaji wa mkopo unaweza kufanyika kwa njia ya makato ya mshahara au kulipa Benki kupitia akaunti za Chama.